WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk Pindi Chana ameielekeza menejimenti ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kubuni ...
WAZAZI mkoani Mtwara wametakiwa kupelekea watoto shule ili waweze kupata elimu itakayowasaidia kukabiliana na fursa ...
CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimeishukuru serikali kwa kukipatia fedha zaidi ya Sh bilioni 70 ambazo zinazotarajia ...
Hapo jana, Jaji wa Mahakama Kuu Chacha Mwita amesema Mahakama ilitoa kibali kwa wabunge wa seneti kumuhoji Gachagua kwa mujibu wa katiba. Hali hii inakuja wakati Naibu Rais akikabiliwa na shinikizo ...
TIMU ya Pamba Jiji inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara imeamua kuachana na Kocha Mkuu klabu hiyo Goran Kopunovic. Taarifa ya Pamba Jiji iliyotolewa na Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu Ezikiel Ntibikeha leo i ...
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limewatahadharisha mamilioni ya watu wanaoishi katika ukanda wa Kusini mwa Afrika kujihadhari na tatizo la ukame ...
PICHA za matukio mbalimbali ya kuaga mwili wa marehemu Meja Jenerali Charles Mbuge (Mstaafu) jijini Dar es salaam leo ambapo kesho unatarajiwa kuzikwa Mkoani Mara. ( Picha na Samwel Swai) ...
DAR ES SALAAM; Mbio za TASWA Mwambao Marathon zinazoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), ambazo awali zilikuwa zifanyike mwishoni mwa mwezi uliopita sasa zitafanyika ...
MWENDESHA mashtaka wa ICC Karim Khan amesema ataanzisha upya uchunguzi wa uhalifu uliofanyika tangu mwaka 2022, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
DAR ES SALAAM: KAIMU Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Hemed Suleiman ‘Morocco’, amesema ubora wa wachezaji wa DR Congo umeamua matokeo ya mechi ya kuwania kufuzu fainali za Matai ...
“NDOTO yangu ya kuwa daktari imetokana na matakwa pamoja na dhamira ya kusaidia wagonjwa. Mimi na wazazi wangu tulipata shida sana katika mambo ya tiba hivyo nilitamani kuwa daktari kusaidia jamii. Ha ...
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete amesema mwenge wa uhuru kupelekwa juu ya mlima Kilimanjaro ...